Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,498
- 235,199
Sijawahi ionaHuyu mbna yupo, kuna tamthilia fulan kaigiza km driver wa Tax.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Sijawahi ionaHuyu mbna yupo, kuna tamthilia fulan kaigiza km driver wa Tax.
Watakua wamefuliaHuyu mbna yupo, kuna tamthilia fulan kaigiza km driver wa Tax.
Nyota zishafifia😂!
Navopenda matunda mie 😋😋😋😋😋😋😋!
Yupo sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila shouzzz wee khaaaah.Watakua wamefulia
Nyota zishafifia[emoji23]!
Kwa kweli wamekaa kimya mno[emoji23]Watakua wamefulia
Nyota zishafifia[emoji23]!
Kweli shos hawasikiki kama enzi hizo 🤔![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila shouzzz wee khaaaah.
Nlimuona kwenye hiyo tamthilia, sijakumbka jina vizuri.
Zama zao zishapita.Kweli shos hawasikiki kama enzi hizo [emoji848]!
Karibu Bosslady[emoji4]Navopenda matunda mie [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]!
Mchumba bwana tulia angalia watoto wa kiume wanavyocheza[emoji23]Tukutane hapa tuangalie Liver mnavyokufa Saint Anne [emoji4]View attachment 2228008
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Kijana mdogo unapenda timu ya wazee!Mchumba bwana tulia angalia watoto wa kiume wanavyocheza[emoji23]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Tulia weweKijana mdogo unapenda timu ya wazee!