Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Sijawahi ionaHuyu mbna yupo, kuna tamthilia fulan kaigiza km driver wa Tax.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Sijawahi ionaHuyu mbna yupo, kuna tamthilia fulan kaigiza km driver wa Tax.
Watakua wamefuliaHuyu mbna yupo, kuna tamthilia fulan kaigiza km driver wa Tax.
Nyota zishafifia😂!
Navopenda matunda mie 😋😋😋😋😋😋😋!
Yupo sana.
Kwa kweli wamekaa kimya mnoWatakua wamefulia
Nyota zishafifia!

Kweli shos hawasikiki kama enzi hizo 🤔!ila shouzzz wee khaaaah.
Nlimuona kwenye hiyo tamthilia, sijakumbka jina vizuri.
Zama zao zishapita.Kweli shos hawasikiki kama enzi hizo!

Mchumba bwana tulia angalia watoto wa kiume wanavyochezaTukutane hapa tuangalie Liver mnavyokufa Saint AnneView attachment 2228008
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app

Kijana mdogo unapenda timu ya wazee!Mchumba bwana tulia angalia watoto wa kiume wanavyocheza
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Tulia weweKijana mdogo unapenda timu ya wazee!