Natumaini kumekucha salama. Niko Usukumani Misungwi nimeingia leo. Ningejua upo Usukuma ya wapi nami ningependa kukuonyesha ukarimu wa Wasukuma nikuletee debe la dengu na ka mbuzi uchinje mwenyewe
Natumaini kumekucha salama. Niko Usukumani Misungwi nimeingia leo. Ningejua upo Usukuma ya wapi nami ningependa kukuonyesha ukarimu wa Wasukuma nikuletee ka mbuzi uchinje mwenyewe
Ni siku mpya nyingine MUNGU ameiruhusu kwetu.
Milango ya baraka ikafunguke kwetu,tujaliwe kupata chapaa ya kukidhi mahitaji yetu na familia zetu. Umasikini ni laana wapendwa,tuukimbie kwa nguvu zote.