Selfika na JF: Snap it. Show it

Umeona eeh πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜¬ mzigo wa ushamba ni mzito sana, tunapenda watoto il utoto hatuupendi.. ka jamaa na wapambe wake kumbe kwenye akili zao bado kuna makamasii ya kondooo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… ... Ebu Shangazi Madam mahondaw ukuje wajombaa tupo hapa mama usie na maneno mpolee mtulivu
 
Ni kweli mwanaume majukumu lkn katika kuyatimiza kilammoja ana nmna yake kulingana na Mungu alichomjaalia lkn pia kuzidi kutafuta kunahitajika umaskini haumpendezi mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…