Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,552
- 235,326
Ashukuru tu Mungu maana phys ingekuwa kumtoa machozi kama vitunguu majiNyie selection za mwaka huyu zina vituko, kuna mtoto alipata 2 ya 18, phys D, Chem C, bios B,
Kapangwa HGL, ambapo hist B, Geog B, Engl B.
Dogo analia vibaya, anasema hata CBG wangempanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie hata huruma hawana,
Itabidi uvizie kesho tu hamna namna sasa hivi niliehajiegeshaSasa fanya nipate. [emoji23][emoji23][emoji23]
Pamoja mkuu, usijali!!Kweli zote nishatupia mkuu
Sasa hapo CBG, ana CBB, kwan wasingempeleka CBG?Hiyo D ya Physics ndo imemuangusha mshauri akasome kwa bidii tuu
Sasa si utupie ile ya jezi yenu romantic ya arse8Pamoja mkuu, usijali!!
[emoji1787][emoji1787] wacha bwana!!Aiseee
Wakati wa kumtafuta Junia chaga Moja ilivunjika.
Si bora huyo,kuna mwenzie alipata 1 ya 17 dogo sayansi hatariNyie selection za mwaka huyu zina vituko, kuna mtoto alipata 2 ya 18, phys D, Chem C, bios B,
Kapangwa HGL, ambapo hist B, Geog B, Engl B.
Dogo analia vibaya, anasema hata CBG wangempanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie hata huruma hawana,
Mbona anaweza tu kubadilisha combination akitaka?Nyie selection za mwaka huyu zina vituko, kuna mtoto alipata 2 ya 18, phys D, Chem C, bios B,
Kapangwa HGL, ambapo hist B, Geog B, Engl B.
Dogo analia vibaya, anasema hata CBG wangempanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie hata huruma hawana,
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jaman CBG n halali yake, why hawajampa hiyo.Ashukuru tu Mungu maana phys ingekuwa kumtoa machozi kama vitunguu maji
Acha kabisa[emoji1787][emoji1787] wacha bwana!!
Kwasababu wengine wameona naomba nikutumie dm[emoji28]
Si waziri kakataa kasema hakna kubadilisha.Mbona anaweza tu kubadilisha combination akitaka?
Halafu baadaye atasomea Nini?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jaman CBG n halali yake, why hawajampa hiyo.
SitakiKwasababu wengine wameona naomba nikutumie dm[emoji28]
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Haha, sawa aisee!Acha kabisa
Nikataka nizimie..sema blaza alikuwa na timing nzuri.
Tupo tunagombana na kajunia hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha, sawa aisee!
Naona ndio wakati ushafika!
Dogo langu walimchagulia HKL uzuri shule aliyepangiwa akaenda badilisha combSasa hapo CBG, ana CBB, kwan wasingempeleka CBG?
mie nimeshauri akifika shule akabadilishe tyuuh, km vipi aende private.
Wanaselfika tupitishe kamchango Boss Lady apate ka-aifoni kapya. Mnasemaje maana tunakosa uhondo bana kha! [emoji16][emoji16]Hahahaaaa....!!! Simu mbovu so sikuhizi napiga kwa kubip bip!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyu dogo anavyolia sasa had huruma lol.Si bora huyo,kuna mwenzie alipata 1 ya 17 dogo sayansi hatari
Looh jamani walimchagulwia chuo cha maendeleo ya jamii Musoma[emoji23]
Dogo alipiga yoweee hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina picha, sipigi picha kabisa yani..sura ishajichokea pichs hazitoki tenaSasa si utupie ile ya jezi yenu romantic ya arse8