Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,221
Hahah ... WigeBasi leo ndiyo nimembahatisha Cha maneno
uchebe 🤣🤣🤣🤣🤣!
Hahah ... WigeBasi leo ndiyo nimembahatisha Cha maneno




sema nlishawahi kumuona mie.huyu soon anakuwa kondoo wangu.. hakuna kupotea njia ☺️☺️Njoo utembee
Pole baba pasta Afu unakua unatamani kweli uione hio picha kwa jinsi wanavoizungumzia!Ujumbe uumao 😀😀
You do not have permission to view this page or perform this action.
Kisura cha upole, ila mambo yake sasaHahah ... Wige
uchebe 🤣🤣🤣🤣🤣!
Kondoo amechangamka huyohuyu soon anakuwa kondoo wangu.. hakuna kupotea njia ☺️☺️
Mkuu,huyo Kelsea wala asikuoe moyo,Kama ukipanda daladala ukasimama na usiguse kichwa chako like bomba la kushikia mikono basi wewe ni mfupi😀😀Oh kumbe, maana wanasema angalau uwe kuanzia mita 5 ndio unahesabika mrefu. Mimi mita 4 najiona mfupi kabisa
Wewe umeangalia jina lako mkuu?Selection za form 5 na vyuo zimeshatoka, hayaa mkaangalie majina ya watoto wenu.
Kisura cha upole, ila mambo yake sasa
Nimepangiwa Tabora girls Sec school PCM.Wewe umeangalia jina lako mkuu?
Mbarali kwema kabisa, njoo ule nyama choma na ubwabwa parachichi
mtoto wa Mungu, ni kweli asemacho mamaaa pastaaa kuwe umechangamkaa sanaaa 😟