View attachment 2218951View attachment 2218951
Unapokuwa Mzee unatakiwa kuongoza Kwa mifano Kwa wajukuu ili wapate vya kujifunza.
Hata miaka Ile Nchi imepigwa na Njaa ni Wazee ndiyo tulionja matunda na vyakula vigeni kabla wanafamilia wengine hawajala ili kama Kuna shida yeyote iondoke na Sisi kwanza
Makinikeni nyote, Nchi inawategemea