Mimi hadi nyumbani wananiforce kujichanganya.
Muda mwingi huwa nakaa mwenyewe natulia.
Hakuna adhabu maishani kama kuishi maisha ya hivyo..nimeyaishi shule yaani niliteseka mno
Wewe unataka kulala,mwingine anaweka mziki,wengine wanapiga makelele yaani kero tupu.