Kumbe ni Mr.kahawa [emoji1787] haya nimefuta kauli.Wee thubutuuu, unamjua huyo mtu? Anaweza kuwapangia hao wenzake kila mtu self container rooms, na akalipa miaka hata 5.
Kaamua tuu awe na company hivyo.
Uwezo anao sana huyo. Mr kahawa expensive. [emoji23][emoji23]
Ngoja nikutumie Picha yako inbox saizi π€£π€£π€£ (kidding)
Rafiki ina maana hamna wapenzi kweli? Au sheria ni NO kuleta ghetton?mambo ya warembo tena π₯Έπ₯Έ
Tena wewe[emoji1787]Purukushani
Tunalala vizuri sana sema nyie watoto wa kishua mtaona maajabu ππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kitanda k1 mnalala watu 4?
Nacheka km chizi. Khaaaah
Mbona umekomaa sanaRafiki ina maana hamna wapenzi kweli? Au sheria ni NO kuleta ghetton?
Sent using Jamii Forums mobile app
π π π huwezi peleka mpenzi gheto kama unajiheshimu, kama una muheshimu mpenzi wako na kama una waheshimu wenzako..Rafiki ina maana hamna wapenzi kweli? Au sheria ni NO kuleta ghetton?
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi. Nimehoji sababu naona sana kwa watu wengne, mwanaume akija na mwenza wake jamaa zake wanalala nje siku hiyo [emoji23] na hii si haki hivyo nilitaman kujua kwa upande wenu.[emoji28][emoji28][emoji28] huwezi peleka mpenzi gheto kama unajiheshimu, kama una muheshimu mpenzi wako na kama una waheshimu wenzako..
acha basi, maisha kupanda na kushuka .. unajua history ya macMuga wewee ππWee thubutuuu, unamjua huyo mtu? Anaweza kuwapangia hao wenzake kila mtu self container rooms, na akalipa miaka hata 5.
Kaamua tuu awe na company hivyo.
Uwezo anao sana huyo. Mr kahawa expensive. [emoji23][emoji23]
Nimeuliza tu, sio kwa ubaya.Mbona umekomaa sana
Kwenye hicho kipengele[emoji848]
π€£π€£π€£Tena wewe[emoji1787]
Una mdomo
Chuchunge kasingiziwa
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£πTena wewe[emoji1787]
Una mdomo
Chuchunge kasingiziwa
Toka nimezaliwa sijawai fanya matusi geto kama kumbu kumbu zangu ziko sawa, ni hotelin na nyumbani .. Gheto sio ustaarabu aseee... hayo mambo hata bro Wigelekelo haweziSafi. Nimehoji sababu naona sana kwa watu wengne, mwanaume akija na mwenza wake jamaa zake wanalala nje siku hiyo [emoji23] na hii si haki hivyo nilitaman kujua kwa upande wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππ€£π€£π€£
Shangazi ππHahaaa!
Chuchunge
Marahabaaaa!!Shangazi ππ
Siwezi kuishi hayo maisha ya kujichanganya.Tena wewe[emoji1787]
Una mdomo
Chuchunge kasingiziwa
Na unakosa uhuru pia na usumbufu kwa wenzako.Toka nimezaliwa sijawai fanya matusi geto kama kumbu kumbu zangu ziko sawa, ni hotelin na nyumbani .. Gheto sio ustaarabu aseee... hayo mambo hata bro Wigelekelo hawezi
Hivi chuchunge ni nani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Chuchunge
Hayo maisha mimi yalishanishinda, napenda kuwa peke yangu tu.Siwezi kuishi hayo maisha ya kujichanganya.
Sijui ndio ubinafsi au kitu gani!!whatever..
Napenda kuishi mwenyewe tu.