Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

JulyView attachment 2217379
IMG_20220508_230645.jpg
View attachment 2217384View attachment 2217385
IMG_20220508_230139.jpg
IMG_20220508_225830.jpg
IMG_20220508_230000.jpg
IMG_20220508_230052.jpg
IMG_20220508_230543.jpg
IMG_20220508_230441.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa unajua home napenda kucheza zangu mie nikiamua za kusifu utagonga mlango uibe vyote ndani mie sisikii !!
Ndiyo kalikuwa katabia kangu; nilikuwa nafunga mlango mkubwa then nayarudi mayenu. Siku hiyo kumbe sijafunga mlango, afu baba kaja mara moja; mweeh asinibambe. Si unajua kinyumbani na khanga umeikunjia kwa nguo uyarudi vizuri 🤣🤣
 
My one favourite from Steve Crown - Imela.

Hilo goma first time nlivyoliskia nliona Mbingu zikifoongokaaa na Mimi huku Machozi tuu... Ukiniuliza hata leo nlikua nalia nini... Sijuagi eti!

Imagine to hear it from Sony Muteki 2000W.

...chukua nile, ibenza ntwalee... Hee heee ooo lord

Jamani English Gospel ni Khabari Ingine Mazee.
 
Back
Top Bottom