Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,947
- 177,163
Asante sana mkuu!!! Kabisa mie niweke kwenye kusifu napenda sana kucheza mie🤣🤭!
Hii kitu imenigusa
Punguza wivu👌Wameshakufundisha na mipasho
Umeandika huku kidole kinaning'inia
Wahuni sio watu
Nitumie contacts zao
Ndiyo kalikuwa katabia kangu; nilikuwa nafunga mlango mkubwa then nayarudi mayenu. Siku hiyo kumbe sijafunga mlango, afu baba kaja mara moja; mweeh asinibambe. Si unajua kinyumbani na khanga umeikunjia kwa nguo uyarudi vizuri 🤣🤣Sasa unajua home napenda kucheza zangu mienikiamua za kusifu utagonga mlango uibe vyote ndani mie sisikii !!
My one favourite from Steve Crown - Imela.


Ukiniuliza hata leo nlikua nalia nini... Sijuagi eti! Mkuu huhitaji tena?Shukrani sana mkuu na ubarikiwe mnoo mnoooo! Kesho nitakuchek mkuu saivi Nikapumzishe fuvu langu kwanza.
Usiku mwema once again!
🤣🤣,wapi mkuu? Nimekumic longtimeUnanikumbusha mbali mkuu
Mwana jf akituonyesha moja ya machaka anapochimbiaga dawa!.
Nikuchimbie na wewe?Mwana jf akituonyesha moja ya machaka anapochimbiaga dawa!.
Huko kote nimezunguka.,wapi mkuu? Nimekumic longtime