Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Tupo busy kuwalea akina Junia wajao

Tupo busy kuwalea akina Junia wajao

Tupo busy kuwalea akina Junia wajao![]()


tupe location tulete machungwa na malimaoNipo hapa na baba mchungaji

Mdogo wako kazi anayo.

Saa bado mama mtumishi
Kazi anayo

Tutajuta kukufahamuMdogo wako kazi anayo.
Hadi Junia amekuja basi kila mtu atakuwa ameumia![]()
Tutajuta kukufahamu




Hivi bado hujajuta tu?
Junia anakuja December aiseee,,kazi unayo.






Huyu baba aliniuma aiseeDaah Bishop Ryoba maskini; mbingu imejitwalia shujaa wake. Nikisikia "Naloli" namkumbuka sana, alikuwa anapenda sana huo wimbo pia.
Tuma bana weee
Na bado






Mungu aendelee kumpumzisha Mtumishi wake kwa amani.Huyu baba aliniuma aisee
Nilipenda sana mahubiri yake
AmenMungu aendelee kumpumzisha Mtumishi wake kwa amani.
Labda niongeze idadi tu..!Kwani wewe huna mpango wa kuwa na watoto mkuu?
Sasa mbona unaona ni kitu cha ajabu kwangu mimi kuwa na mtoto?Labda niongeze idadi tu..!