Yaani siku nikifa hapa JF itakuwa tu jamaa alikuwa anapenda mayutongs hatari sasa kafa kayaacha. Sijui nitawezaje kuachana na sifa hii. Kazi ninayo kwa kweli
Wow. Mungu ni mwema madam, so far najua unawaombea sana wanafunzi wako. Ni faraja ya mwalimu kuona wanafunzi wake wanafaulu vizuri na kufuatilia ndoto zao