Na mwanaume ukiona amainua mkono hivi ujue pia amejutana na mwanamke amemdhihaki vyakutosha, wanaume asili yetu sio waongeaji ndiyo maana defence mechanisms yetu ni kutishia we nitakuzaba ukiendelea hapo he didn't mean a thing ila unapozidi sasa kuonyesha jeuri utomvu wa nidhamu ndiyo hatari inakua zaidi