The night is dark but I am not forsaken
For by my side, the Saviour He will stay
I labour on in weakness and rejoicing
For in my need, His power is displayed
wewe ni Mungu utukufu wako umetamalaki,
Hakuna wa mfano wako Mbinguni na duniani, "sema haufananishwi"
Haufananishwi Bwana,
Haulinganishwi Bwana,
Haufananishwi Bwana,
Haulinganishwi Bwana,
Unamamiliki Mfalme
unatawala bwana
wewe ni Mungu utukufu wako umetamalaki,
Hakuna wa mfano wako Mbinguni na duniani, "sema haufananishwi"
Haufananishwi Bwana,
Haulinganishwi Bwana,
Haufananishwi Bwana,
Haulinganishwi Bwana,
Unamamiliki Mfalme
unatawala bwana
Nimekaa sana huko enzi za shule naijua mbeya vizuri mno na naipenda, nitakuagiza mchele, aiseh mchele wa mbeya ni matatizo nilikua naagiza sana nikaja kuacha ila ukipika huo mchele jirani lazima ombe kujua umenunua wapi mchele kwa harufu tu ilivyo nzuri