Wewe huna kitambi trust me.
Namzungumzia dada yangu mwenye mwili kama wako na ana mtoto mmoja
Ana kitambi,kinajichora kwenye nguo kama Cha waheshimiwa wabunge
Kama ni wali, bora kupika kwenye makaaNasikia chakula cha humu hakinaga Radha nzuri km ya Moto wa kawaida..is it true?
Hee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nye Nye Nye
Karibu sana shangazi .. 😁😁 Kumtumikia Mungu na kutafuta yaliyo katika ufalme wake yana faidaMjomba mimi nitakua muumini wako wa siti ya mbele kabisa..[emoji2][emoji2]
Mimi navijua vitambi,,nina uzoefu navyoMie pia kipo Anne ngoja siku niamue kionekane nipige picha ushtuke kwa mshangao [emoji23]
Nina mguu laini dada… sikanyagi chini mieSocks umevaa au ndio tukuache na makapu yako kwanza?
Shikamo mwalimuKabisa ma mchungaji sitaki makwazo na watoto mie!
Kile kilinikosesha pozi nikabadisha nilivalia hii walau nilinistiri hili tambi!View attachment 2215906View attachment 2215907
[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]Hee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi huna habari kuwa bibi anataka mjukuu Asap?!
Wewe huna kitambi trust me.
Namzungumzia dada yangu mwenye mwili kama wako na ana mtoto mmoja
Ana kitambi,kinajichora kwenye nguo kama Cha waheshimiwa wabunge
Umeshapitwa mkuu nimerudia sana!Shikamo mwalimu
Karibu sana shangazi .. [emoji16][emoji16] Kumtumikia Mungu na kutafuta yaliyo katika ufalme wake yana faida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Nina mguu laini dada… sikanyagi chini mie
Kwakweli notebook ni muhimu izo mbegu how[emoji16][emoji16][emoji16] huku ni wasukuma tu jman [emoji23][emoji23][emoji23]
Jiongeze,tafuta mbegu nzuri nzuri.
Mimi nilichukua notes Kwa Lizzy ,wale watoto wake walinipa motisha kuzaa mapema.
Shikamoo Jei Efu [emoji91][emoji91][emoji91]@mahandow
Madam nimeitika wito
View attachment 2215923
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Si ndio akina Junia wa aina ya kina MagufuliKwakweli notebook ni muhimu izo mbegu how[emoji16][emoji16][emoji16] huku ni wasukuma tu jman [emoji23][emoji23]
Ukiamka tu mwangaluka mayo[emoji23] hamu ya kutafuta mbegu inapotea adabu gani hizi
Nikikosa nitakuja na huko huenda zipo zipo[emoji16]
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Baridi imeanza… soon naanza kufatilia kama dose[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Akiyanani...Simara zoezi lake amebaki nalo pekeyake.
Niliforce kujificha kule kumbe Chaka langu ni hapa
Sasa napewa Amani mapenzi yasiyo na mipakaView attachment 2215925
Kama Cha waheshimiwa wetu[emoji23][emoji23][emoji23] mheshimiwa..