Pole sana mjukuu. Naamini ulishapona na kuondokana kabisa na tatizo hilo...
Ndiyo. Mafuta mengi siyo mazuri (hasa kwetu wahenga) japo vyakula vilivyokaangizwa ndo vitamuuu. Mara moja moja siyo mbaya lakini....
Nina daktari mkorofi hapa na mafuta pekee ninayoruhusiwa kutumia kwenye vyakula ni haya. Akiona cholesterol imepanda hata kwa point moja tu basi nitanuniwa hata mwezi. Hovyo tu!
View attachment 2215761