geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,227
uzi huu siku hizi unanipa hasira....kila nikiingia nakuta picha zimefutwa








uzi huu siku hizi unanipa hasira....kila nikiingia nakuta picha zimefutwa![]()

kuna new sheria..ukitaka picha zirudiwe unaweka kwanza yako na hela ya soda.🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 zile pipo ni nyokooooo!!Ukute hapo kakupa
Ile style ya simba kakosa windo
Ni Balaa
Mmakonde sijui myao akasome
Uno linapigwa mjegejo ukiwa in
Utashangaa unarasimishwa mto kagera
water bed inahamia mlipo![]()
Kabisaaaaa....na sheria imepita naona sophy keshaanza kuifuata sheria...safi sanakuna new sheria..ukitaka picha zirudiwe unaweka kwanza yako na hela ya soda.
Bado hela ya sodaKabisaaaaa....na sheria imepita naona sophy keshaanza kuifuata sheria...safi sana

Hela itasumbua tufanye vocha dia😜Bado hela ya soda![]()
Kweli iwe vochaHela itasumbua tufanye vocha dia![]()

Mitaa yake ya kujidai eeh. AsanteHiyo itakua kwa wanene Njiro huko
Hahahaaaa.. Nimependa hii " Wakulima hatunaga location"Wakulima hatunaga lokesheniView attachment 2214390
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app


Hahakuna new sheria..ukitaka picha zirudiwe unaweka kwanza yako na hela ya soda.

Ni penyewe… uache uzembeMitaa yake ya kujidai eeh. Asante
Hahahahaa usinikumbushe tasavaliNi penyewe… uache uzembe
Huoni Puma hiyo? 🤣 hapo ukitoka kule ulipokuwa ukifka Asilia kwa mbele kidunchuu
Ajabu upo singo
Kidole gumba cha mguu
Kinaashiria mema

Hiyo puma kabla ya totalNi penyewe… uache uzembe
Huoni Puma hiyo?hapo ukitoka kule ulipokuwa ukifka Asilia kwa mbele kidunchuu
Popote tunapiga pichaHahahaaaa.. Nimependa hii " Wakulima hatunaga location"![]()

Jaman umekuwa bonge lini?Naenda zangu kupumzika
View attachment 2214396
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app