π π π Unaweza maana pia huku mvua karibia masaa yote, baridi ndio mwake ukungu wakati mwingine ukichachamaa hata mbele huoni.. kazi inakuwa moja tu kulala na kula
Usiwe na wasiwasi na Mimi Mkuu, sisi ni wale Wazee wachache tuliofundishwa maadili na hayati Mzee Nyerere tangu wakati ule wa Azimio la Arusha, kabla ya Maazimio ya Musoma na Dodoma π€ͺπ€ͺ
Nimeona ni kama upo bonde la Usangu, vipi unalima huko? Karibu nikukodishie shamba la mpunga karibu na hao Waburushi πΆπΆπΆ