Bagia za dengu hazina process ndefu unakula chap tuOhooo
Naomba unifundishe
Ooh nice.I have next door neighbors that are Muslim and we have become friends, he invited me today.. am non muslim fasting for ramadan, Am fasting in a bid to achieve an excellent state of health.
Nimezoea sembe tu nahisi sitauwezaMtama huo. Kama hujauzoea usiujaribu...au uule na fiber za kutosha
AsanteBagia za dengu hazina process ndefu unakula chap tu
Mahitaji
Unga wa dengu kiasi chako
Amira
Kitunguu
Karoti
Hoho
Majani ya kotmiri
Maji
Chumvi
Maandalizi
Tumia bakuli lenye nafasi mimina unga na viungo vyote pamoja
Tumia uma au kijiko kuvuruga mchanganyiko wako
Ukiisha kuwa mlaini bila kuwa mabuja na usiwe mzito au mwepesi sana .
Acha mchanganyiko wako for 15 had 20 minutes
Weka karai lako jikoni lipate moto sawa sawa
Tumia kijiko cha chakula kuchotea kutia kwenye mafuta hakikisha zisizisambaa kwa sehemu kubwa . Acha iive na upande wa pili hadi kuwa brown mpauko
Haya dearAsante
Kujamba sasaMahitaji
Bagia za kunde
Nunua kunde kiasi chako
Kitunguu maji
Swaumu
Tangawizi
Unga wa ngano
Na vingine utakavyohitaji
Maandalizi
Osha kunde zako vizuri baada ya hapo loweka kunde zako kwenye bakuli .. ziache hapo kwenye maji kwa usiku mzima ili ziweke kulainika .
Kesho yake zitoe kunde zako kwenye maji halafu uweke kwenye kinu / blender / food processor ili uzitwange na kulainika wakati kunde zinatwanga kata mahitaji yako hiyo vitunguu na tangawizi baada ya kunde kusagika changanya vitunguu vyako kwenye mchanganyiko wa kunde weka na chumvi kwa ajili ya ladha ..
Andaa unga wa ngano vizuri na uanze kutengeneza vidunguli /vitonge vya duara huku ukishikizia na ngano ili isiweze kuachia ..
Baada ya hapo andaa mafuta kwenye karai yapate moto then uweke kunde zako zikageuka kuwa kahawia hapo epua zipo tayari kwa kula .
Ndoa
HahaKujamba sasa
Longa namiI have next door neighbors that are Muslim and we have become friends, he invited me today.. am non muslim fasting for ramadan, Am fasting in a bid to achieve an excellent state of health.
😁😁Msabato huyo
Sorry nimerukia mada
Napita hapo dakika sifuri
Mimi huwa natoa ushauri kwa wanandoa tu.Ndoa
Mimi nataka mbususu
Akinipea tu imeisha hiyo
Mimi sio muoaji
Hata utakayemuoa na yeye si atakuwa kaolewa kwa niaba ya umma?Mimi sio muoaji
Unataka niolee umma
Speak English.Longa nami
Naona unajipinda english course
Haikusaidii arif
Hongera sana kwa kufungaI have next door neighbors that are Muslim and we have become friends, he invited me today.. am non muslim fasting for ramadan, Am fasting in a bid to achieve an excellent state of health.