Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa tufanyaje wakati wenyewe wanakwambia mbususu utapewa ukiwa unahudumia au kama wewe ni handaome boy.. so kuchapiwa kupo pale pale
 
Huyo shoga ako hakuwa mwema.. mwiko kwangu kukufundisha kitu ambacho najua sio kizuri, wewe ukiamua kukitenda ukitende kwa hulka zako.

Mimi nakunywa nikiamua, kama sijaamua hakuna mtu anaweza nishawishi.
 
Huyo shoga ako hakuwa mwema.. mwiko kwangu kukufundisha kitu ambacho najua sio kizuri, wewe ukiamua kukitenda ukitende kwa hulka zako.

Mimi nakunywa nikiamua, kama sijaamua hakuna mtu anaweza nishawishi.
Anaependa pombe alafu sijui alijifunzia wapi siku ya kwanza namuona anakunywa nilistaajabu aisee naona alikuwa anatafuta kampani


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…