Yan mie Basi nimekaa na mlevi na nimeshindwa kunywa
Nilitolewa na rafikiyang na boyfriend wake tumefika agiza si nikaagiza soda nilichambwa sisahau
nikasema mmenitoa mnifundishe ulevi nipeni tu ninywe izo soda nilipiga tatu nikabeba takeaway na Azam embe nikasema nitaamka nazo
alafu sinahabari nilinuniwa balaa sio kwa kila dakika chooni
Sent from my Infinix X650B using
JamiiForums mobile app