Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🤣🤣🤣

Ulikua umetupia na ka saraverza kadogo?

Heart beats huwa zinaongezeka kwa mvutaji yeyote (hata wa sigara).

Reason ni kwamba puffs zinaenda na kiasi fulani cha carbon dioxide (monoxide? Sina uhakika sana)

But hii carbon inapoingia kwenye damu, shortage ya oxygen inatokea.

As a result, moyo unakua forced kuongeza speed ya ku pump more oxygen kwenye flow ya damu.

Hiko ndo kilikutokea mkuu.

Next time usifanye vitu nyeti hivi bila mentor
🙌🙌
 
🤣🤣🤣

Ulikua umetupia na ka saraverza kadogo?

Heart beats huwa zinaongezeka kwa mvutaji yeyote (hata wa sigara).

Reason ni kwamba puffs zinaenda na kiasi fulani cha carbon dioxide (monoxide? Sina uhakika sana)

But hii carbon inapoingia kwenye damu, shortage ya oxygen inatokea.

As a result, moyo unakua forced kuongeza speed ya ku pump more oxygen kwenye flow ya damu.

Hiko ndo kilikutokea mkuu.

Next time usifanye vitu nyeti hivi bila mentor
Sawa mkuu.
 
IMG_20220423_184938_185.jpg
 
Kwahiyo ulidhani mimi ni dunga embe, kimpwipo fulani hivi jinga jinga eeh, pua yako😂
Ah wee mrembo hatari jamani...kha sasa laki unajua haya ni matumizi mabaya ya utege wako....unakuwaje single wakati utege huo unapaswa kuwa umezunguka kweye kiuno cha mwanaume huku ukiwa umebebwa hewani unapata mabusu busu....na unavyo onekana upo portable hadi raha.
 
Back
Top Bottom