Hao hao
Wanakuwaga na mambo yao jau sana.. sema ilisaidia sana hata vijana wa hovyo mtaani hawawasumbui… dizaini ye anaogopeka mpaka nyie mnaogopwa
Khaaa huyo alizidi… mimi huyu kitu alizidigi ni kuna siku nilizingua akaenda kunichomea shule
Ile siku nilikula stick jamani, na haya mashule yao venye wako na fimbo zao spesho
Wewe peponi Moja Kwa moja tunaenda wote😂😂😂🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣 watakuombea mtu wao walau upate uongozi wahuku kwetu ndio hapo nitakapoponea !
Kesho basi mbuzi katoliki pale ghorofani?Ndio ki..po..ng
Huyu atakua hajamaliza adhabu yake ya kufua nguo za malaika
Eeh??🤣🤣🤣🤣🤣Nipo kwenye mkesha. Kesho nikìtoka
Mbona kupatwa kwa peponi!😂😂🤣🤣🤣!Wewe peponi Moja Kwa moja tunaenda wote
Ila huyo Pep na dada yake HS Hawa labda waingie Kwa mchongo tu🤣
Mie mzee wangu alikua hapendi nivae surualinilikua na lijimtandio kuubwa nikitoka nalivaa kwa juu nikipotea tu usawa wa home nalitupia kwene begi speed town. Maisha yale sitaki kukumbuka.
Mimi wewe na mkurugenzi tutakuwa line ya mwanzo kabisa wakitoka akina Ibrahimu.Kupatwa kwa peponi!😂😂🤣🤣🤣!
Kesho basi mbuzi katoliki pale ghorofani?
Ila mwanangu una kesi mob!!
Now ni hukuuu… Pillars
Ntakuja hapo Mbozi siku moja niku CONTROLSawa..
Endelea kuupiga kwingi kama wale matapeli😂
Kama sahivi tu huyu amekuwa mshikaji sanaaa 🤣🤣Wakati nakua nikajisemea mimi niolewe na Askari au polisi hapana.
Ooh yeah wanatusaidia sana kutunyoosha kimadili ...mtaa wanajua mtoto wa mzee fulani sema wakija kuzeeka wanakuwa wastaarabu hao .. sasa hizi nikikaa nae nasema ndo huyu au pacha wake .
Shule zile hazifai aisee sio kwa viboko vile ilibaki kidogo niende Jitegemee hakika ningenyoshwa .
Tumetoka mbali mno yaan.Aisee tumetoka mbali hapo ukifika karibia maeneo ya nyumbani unauvaa .
Sie hatujazoea suruali kihivyo Mimi kama kuanza kuvaa suruali nimeanza majuzi hapa muda mwingi ni magauni kwenda mbele .
Labda akina Ibrahimu Hajibu wa Mbeya cityMimi wewe na mkurugenzi tutakuwa line ya mwanzo kabisa wakitoka akina Ibrahimu.
🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗 Nitakavokua nawazomea sasa !!🤔🤔🤔🤔Mimi wewe na mkurugenzi tutakuwa line ya mwanzo kabisa wakitoka akina Ibrahimu.
🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌 itabidi nikuombee, wewe na kupoteza simu sijui mna shida gani….Mornie nicheki coz cm napoteza kila week tukae pale rotion ndo nlikuwepo mchana nakula mdudu..pillars night tutacheki
Wewe ni chizi ujue😂😂😂😂Labda akina Ibrahimu Hajibu wa Mbeya city
Unachokitafuta utakipata baba mtumishi 🤣Ntakuja hapo Mbozi siku moja niku CONTROL
Hasa huyu HS tutamzomea sana atakayokuwa anabaki🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗 Nitakavokua nawazomea sasa !!🤔🤔🤔🤔
Yule afande mrefu akuwa akiitwa Kumalija unamfahamu?Kama sahivi tu huyu amekuwa mshikaji sanaaa 🤣🤣
Imekuwa double kipenzi cha baba.
Jitegemee ungekoma 🤣🤣
Misala mingi sana pale
Ila kibishi tukasepapo 😍
Napakubali kiasi
Kama sahivi tu huyu amekuwa mshikaji sanaaa
Imekuwa double kipenzi cha baba.
Jitegemee ungekoma
Misala mingi sana pale
Ila kibishi tukasepapo
Napakubali kiasi
Nyie wote mtakuwa wapuliza bangiMwambie nitampiga… akishindwa aiite hata Mary Jane