Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Huyu ni mgonjwa mpendwa. Siyo vizuri










Huyu ni mgonjwa mpendwa. Siyo vizuri










Asanteeeeeeee hh!!
Finally nitasinzia vizuri!!

sasahivi niko kama mange kimambi...Ina maana sasa hivi ushajikondesha? Shangazi bana! Mpaka tabasamu usoni limeniisha ghafla kama ushajikondeshaView attachment 2196931
Hapa chips mayai zilizidi...



Ina maana sasa hivi ushajikondesha? Shangazi bana! Mpaka tabasamu usoni limeniisha ghafla kama ushajikondesha![]()
usijikondeshe sasa shangazi mi mwenyewe hapa nimejikondesha sana mie nina mwili kidogo!sasahivi niko kama mange kimambi...
JizaziNimejikondesha mjomba mimi sipendi unene kabisa,nitaweka recent photo soon ,sasahivi ni size 12 nataka nifike 10 ...




usijikondeshe sana sasa shangazi!!!!
Potabo simpo n easy to Keri ama nene!!Sipendi unene kabisa,kawaida nakuaga kama k lynn sema hapo kwenye picha nilijiachia sana...ila nimeshapungua sasa...



Napinga weka picha kama ni kweli😂😂😂🤣🤣🤣 ili tege mbona kama langu
Kipotabo mwenzangu kumbeSipendi unene kabisa,kawaida nakuaga kama k lynn sema hapo kwenye picha nilijiachia sana...ila nimeshapungua sasa...
Asante kwa kunijuza kumbe ni mgonjwa😬Huyu ni mgonjwa mpendwa. Siyo vizuri![]()
Kipotabo mwenzangu kumbe

Nini sasa?
Kuna wanaotupenda hivi hiviIla tunapingwa,hatuna soko![]()