Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Utaanzaje msahahu mpenzi wako.. hata kwa harufu tuuu au mtembeo ungenijua... usingenitambua ningejua unachepuka na kesi yake ingekuwa ya dunia 😎😎
Una alama moyoni mwangu kwa kweli hata ubadili Id vipi ujue nitakutambua tu kama ni wewe Mpendwa
E2033CD9-64B4-467F-B274-EE1661BE34CB.jpeg
 
Kwema ulitukimbia jamani..

Salama huko lakini?


Had a dream I was king, I woke up, still king

To going and buying four or five of the homies the iron man Audi
My daddy told me slow down, boy, you goin' to blow it

I remember when T-Pain ain't wanna work with me
My car starts itself, parks itself and auto-tunes
'Cause now I'm in the Aston

Shangazi badae... acha niingie mzigoni
 
Id ya zamani

Nani vile

Huwa nashangazwaga na hili swali, huwaga naona watu wakiwauliza wenzao hv. Nkawa nahs huenda wanakuwaga na ushahid na hilo walizngumzalo.

Leo nmeelewa kumbe n swali ambalo mtu akijiskia humuuliza yeyote yule, me syo mgeni na pia sna id ya zaman hi ndyo id yangu labda nisahau password........
 
Back
Top Bottom