Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Utaanzaje msahahu mpenzi wako.. hata kwa harufu tuuu au mtembeo ungenijua... usingenitambua ningejua unachepuka na kesi yake ingekuwa ya dunia 😎😎
Una alama moyoni mwangu kwa kweli hata ubadili Id vipi ujue nitakutambua tu kama ni wewe Mpendwa
E2033CD9-64B4-467F-B274-EE1661BE34CB.jpeg
 
Kwema ulitukimbia jamani..

Salama huko lakini?


Had a dream I was king, I woke up, still king

To going and buying four or five of the homies the iron man Audi
My daddy told me slow down, boy, you goin' to blow it

I remember when T-Pain ain't wanna work with me
My car starts itself, parks itself and auto-tunes
'Cause now I'm in the Aston

Shangazi badae... acha niingie mzigoni
 
Id ya zamani

Nani vile[emoji848]

Huwa nashangazwaga na hili swali, huwaga naona watu wakiwauliza wenzao hv. Nkawa nahs huenda wanakuwaga na ushahid na hilo walizngumzalo.

Leo nmeelewa kumbe n swali ambalo mtu akijiskia humuuliza yeyote yule, me syo mgeni na pia sna id ya zaman hi ndyo id yangu labda nisahau password........
 
Back
Top Bottom