Eeh kumbe jf mnadate kabisa🤣🤣🤣🤣 usiniambie....sasa ikawaje au ndio alikula mbususu na kusepa🤣🤣🤣🤣Yaan wewe hukunielewa, mpenzi anapatikana popote tu lkn muda wa kuingia love connect huo ndio sina zingatia hili. Nilishadate mtu humu tena nilimpata hapa hapa Selfika lkn tulianza kwa namna nyingine kabisa kabla hatujafikia kudate. Sijasema hamna wanaume wa kudate humu wapo sana ila ni uchaguzi tu nje ama ndani.
Natafuta kamrembo ka miaka 27Ooh pole
Sio mbaya
Nyie wanaume hata 45 hapo waweza kuoa binti mbichi kabisa .
Yaani haya mambo yanahuzunisha ila nimejikuta nacheka [emoji23][emoji23][emoji23] uchokozi tu amuache Lulu
Ndiyo.Ooh okay
Umbeya nayo ni hobby dear , kwa hiyo wewe ni Jf na WhatsApp tu ?
Una mpango wa kuoa ama ndo bye bye?Hapana sijaoa. Sijaonkwa sababu za ujinga wangu mwenyewe. Kuna mwanamke alikuwa very special kabisa na alinioenda ila tabia zangu za umalaya ndio zikanifanya niwe aingle eti oh am not a one woman guy...mpaka sasa 42 hii hapa sina mke.
So moral of the story is...mara nyingi ni tabia zetu wenyewe ndio zinatufanya tuwe single while waotupenda wanakuwepo walishapita maishani mwetu.
Ila wewe tafikiri hujapata mbususu humu [emoji23][emoji23]Eeh kumbe jf mnadate kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] usiniambie....sasa ikawaje au ndio alikula mbususu na kusepa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yes itokee tu automatically mmeconnect na mmependana, ila sio kwenda love connect aah.Yaan wewe hukunielewa, mpenzi anapatikana popote tu lkn muda wa kuingia love connect huo ndio sina zingatia hili. Nilishadate mtu humu tena nilimpata hapa hapa Selfika lkn tulianza kwa namna nyingine kabisa kabla hatujafikia kudate. Sijasema hamna wanaume wa kudate humu wapo sana ila ni uchaguzi tu nje ama ndani.
Wewe bwana anapitaga hapa sitaki aone [emoji23]Eeh kumbe jf mnadate kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] usiniambie....sasa ikawaje au ndio alikula mbususu na kusepa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weka tangazo kule love connectNatafuta kamrembo ka miaka 27
Kuoa nitaoa tuuUna mpango wa kuoa ama ndo bye bye?
[emoji23][emoji23][emoji23] anapitaga mara moja moja anaweka picha anasepaYes itokee tu automatically mmeconnect na mmependana, ila sio kwenda love connect aah.
(Ila nilivyo mmbea, nimetamani nimjue huyo ex wako wa humu eti [emoji125][emoji125])
Ila hao wanaume wanayatafuta wenyewe.Haki ya Mungu.......
Ah nyie warembo wa jf mlishatukandia wacha tupambane na hao wa mtaani🤣🤣🤣🤣🤣Weka tangazo kule love connect
Tucheze harusi sie [emoji23][emoji23]
Daaah haki umbea ni kazi 😁😁😁[emoji23][emoji23][emoji23] anapitaga mara moja moja anaweka picha anasepa
Sio mbayaNdiyo.
Mweeh pole yake. Hapo unakuta anashindwa kumuacha; Mchungaji ataonekanaje kwa wauminiIla hao wanaume wanayatafuta wenyewe.
Mwanakulitafuta atalipata.
Moto unakuja kuwawakia huko wanaanza kutafuta huruma za jamii wakati wadhayakoroga wenyewe Kwa kujidai vipofu.
Kuna mpendwa wetu jirani mmoja yaani hadi huruma...anafanya mazoezi ya uchungaji .mkewe hata kumsapoti japo amsindikize anakosali au kwenye huduma hakuna..kila mtu na hamsini zake.
Mara amesomba vyombo ameondoka yaani drama kibao zilizogeuka comedy kwetu wapenzi watazamaji.
Kha kweli ndio maana hutaki wa jf....walishakuumiza. pole mremboWewe bwana anapitaga hapa sitaki aone [emoji23]
Ndugu mwenyekiti sijui kengeza lilitazama wapi Uzi upo mbio nikapitwa
Rafiki usinisahau mualiko, kila la kheri.Kuoa nitaoa tuu
Umeanza na wewe si tulikubaliana wa humu ndio hao hao wa mtaani[emoji23]Ah nyie warembo wa jf mlishatukandia wacha tupambane na hao wa mtaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]