Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23]Ile ulipo nipo mpendwa imenifanya niwe mtoto mwema najua unapita kimya kimya[emoji1495][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kidole changu kilishindwa kuvumilia kuruhusu hekima yako ipite bila kuaplishet.
Hii..."ulipo nipo"... inaenda kuninyima raha ya humu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kidole changu kilishindwa kuvumilia kuruhusu hekima yako ipite bila kuaplishet.
Hii..."ulipo nipo"... inaenda kuninyima raha ya humu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hapana mpendwa hii ...“Ulipo nipo”..Imenibadilisha mpendwa nimekuwa mtoto mwema sipendi ugomvi wala ligi za kuumiza kichwa 😀😀😀
 
Hapana mpendwa hii ...“Ulipo nipo”..Imenibadilisha mpendwa nimekuwa mtoto mwema sipendi ugomvi wala ligi za kuumiza kichwa [emoji3][emoji3][emoji3]
Tuwe huru tu mpendwa, wi a famili,kwa uzee huu nilio nao hata ya hovyo siwezi kufanya[emoji1][emoji1][emoji1]
Ila najuta kuwahi kuzaliwa na kuwahi kuzeeka... Nyie watoto wa siku hizi ni wazuri jamani mweee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…