Oh kumbe
Kwahiyo unachukulia advantage yeye kutokuwa mtu wa mitandao kutaka kusolve Tena ishu zako na mzee wa miongozo?
Vipi ukifanya utatubu tena?
Rejea ulichosema pale juu kwamba mna mambo yenu ugomvi sijui Nini
Oh kumbe
Kwahiyo unachukulia advantage yeye kutokuwa mtu wa mitambo kutaka kusolve Tena ishu zako na mzee wa miongozo?
Vipi ukifanya utatubu tena?
Rejea ulichosema pale juu kwamba mna mambo yenu ugomvi sijui Nini
Sawa mpendwa japo sidhani kama nitapika ugali. Natia tu chicken wings kwenye air fryer kwa dk. 15 nakula na kabeji pembeni huku nikisukumizia na wine. Sema sasa opener ndo siioni
Sawa mpendwa japo sidhani kama nitapika ugali. Natia tu chicken wings kwenye air fryer kwa dk. 15 nakula na kabeji pembeni huku nikisukumizia na wine. Sema sasa opener ndo siioni