Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Niko poa sana aisee. Happy Easter my friendKimya sana msukuma!! I hope uko bien mkuu!

Niko poa sana aisee. Happy Easter my friendKimya sana msukuma!! I hope uko bien mkuu!

Hakuna shida taarifa nitaifikisha![]()
Asante msukuma! Hujaona ujumbe wangu kule??Niko poa sana aisee. Happy Easter my friend![]()
Nimechelewa ila hamna neno hata kesho
Mungu akipenda...
kabisa sisi wengine tumeona badala yako kwa leokabisa sisi wengine tumeona badala yako kwa leo
Wapi Bosi Ledi? Huwa napata notifications kwa shida sana kwenye app so huwa napitwa na mengi. Usije ukafikiri kuwa nimekuchunia...Asante msukuma! Hujaona ujumbe wangu kule??
Haya bhana.![]()
Na mimi leo nimekua wige picha zinanipita tu![]()

pole. Iv wige ndio katuchinjia bahariniNa nimekununia hapa balaa leo Siku ya nne tangu nikutafute kule naona TU umeuchuna!Wapi Bosi Ledi? Huwa napata notifications kwa shida sana kwenye app so huwa napitwa na mengi. Usije ukafikiri kuwa nimekuchunia...
Kule wapi Boss Lady?Na nimekununia hapa balaa leo Siku ya nne tangu nikutafute kule naona TU umeuchuna!




Pm na wewe mkurugenziKule wapi Boss Lady?![]()
Hapa najisikia poa sana
Kule wapi Boss Lady?![]()
Ki uhalisia
Wewe ni mrembo
Halafu mbichii
Nisalimie
Mwanza

ety mbichi...... Mie nmeivaa nkaiva.... Nlipikwa nkaungua nkatuliwa nkapozwa...... Nkabadilishwa kweny chombo... Nkatiwa kweny chombo kingine nkachemshwa
huu mchemsho uwiiiii 😋😋😋😋😋😋😋😋!!! Nimeutamanijeeeee!!Hapa najisikia poa sana
Tulikuwa tunasushia sasa matokeo ya mechi yetu na City jinsi tulivyowanyukaView attachment 2190051View attachment 2190054
PM hakuna kitu mkurugenzi. Kwani mimi sina akili chifu?Pm na wewe mkurugenzi
Usijidai huelewi