Selfika na JF: Snap it. Show it

Depal umefuta kipi nikuulize swali una nifahamu mimi kwa nini unapata tabu na picha isiyokuhusu
Yan nisingetonywa hii ilikuwa ishanipita

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Samahani siombi, ila nitoe tu pole kwa wewe ku over judge!!
Picha zako nazoonaga hapa macho yangu yanaonaga kama mwarabu/ mpemba.
Ya jana ikawa tofauti ndio maana nikauliza wewe ni yule au ni huyu.

Baadae nikaona utapata shida kunielewa ndio maana nikafuta 🤣🤣

Pole but not sorry 👍
 
Kumbe mnaonanaga kabisa

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…