Selfika na JF: Snap it. Show it

ila wanaume hapana kwa kweli, ukiona weekends wazee wanavochukua totoz za chuo hadi unashangaa,

Juz jmos shost angu kaja kunionesha kibopa wake, nimeishia kusikitika yule mzee n 60+ ila tyuuh kidg anajiweza, uwiiiiiih hatareee sana.
 
Daddy naona hata na wewe hunisalimii.

Inaleta raha sana daddy kumuulizia bintiye pindi anapomkosa nyumbani.

Maisha yanauvuruga ubongo wangu sana ndo mana napotea potea

Maisha ndivyo yalivyo binti. Usituone hata tunaojifaragua humu. Tuna mengi tu tunayohangaika nayo. Cha muhimu ni kutokata tamaa mpaka kieleweke. Endelea kupambana binti. Nakuaminia...na ukipotea tena nitakuwa nakuulizia hapa hapa jinsi unavyoendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…