Mara moja moja siyo mbaya...ningekuwa ni Mhaya ningeongezea na ndinga kali na pisi ya kueleweka....Hiyo tu nimehangaika kuandika naandika nafuta naandika nafuta. Kweli kila mtu na fani yake
Aisee usinitishe. Wiki jana jamaa mmoja ndugu yetu kafia kwenye mizagamuo...55+ kajifanya kuzagamua na kabinti ka chuo kwa kuboost na Redbull sijui na majitu gani aaa wapi. Ninapoandika hapa si ajabu tayari keshaoza huko aliko. Niko mwangalifu sana mjukuu
Maisha ndivyo yalivyo binti. Usituone hata tunaojifaragua humu. Tuna mengi tu tunayohangaika nayo. Cha muhimu ni kutokata tamaa mpaka kieleweke. Endelea kupambana binti. Nakuaminia...na ukipotea tena nitakuwa nakuulizia hapa hapa jinsi unavyoendelea.