Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,958
- 136,781
Sawa
Sawa
Mkuu pamoja na uhandsome wote huo unashabikia timu mbovu?
hahahaaa...
Ni kipindi tu tunapitia yana mwsho hayoMkuu pamoja na uhandsome wote huo unashabikia timu mbovu?
Surehahahaaa...
Ukiwachekea wanakugeuza Bibi yao...

Vile watuwanavogombania vocha inaleta burudani fulani hivi tofauti na kutuma pm!! Ni kama kucheza gemu 🤗Unataka kusema nini Boss Lady?![]()
Ndio mwisho ushafika hivyo




Mwsho msimu huu mwakan Tan Haag yupo mtatukomaNdio mwisho ushafika hivyo![]()
Nimekuelewa Boss Lady...Vile watuwanavogombania vocha inaleta burudani fulani hivi tofauti na kutuma pm!! Ni kama kucheza gemu
Habari za uzima msukuma!! Naona ulikosa mtandio ukasusa!!

khakhaa... ndio upo msukuma!Nimekuelewa Boss Lady...
Ndiyo. Tumetoka mbali sana. Sasa siku ile nimepigania mtandio mpaka kichwa kikaniuma dah! Basi nimeona isiwe shida Boss Lady.
Kwani mtandio bado upo?![]()
Kwa mara ya mwisho. Nauomba...hata kama ni kwa sekunde tatu tu unafuta.khakhaa... ndio upo msukuma!
Jamani 🙄🙄 haya sekunde tatu nafuta... ukitoka usinilaumuKwa mara ya mwisho. Nauomba...hata kama ni kwa sekunde tatu tu unafuta.
Nipo!Jamanihaya sekunde tatu nafuta... ukitoka usinilaumu