Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,862
- 147,218
Sawa
Sawa
Mkuu pamoja na uhandsome wote huo unashabikia timu mbovu?
Unataka kusema nini Boss Lady? [emoji870][emoji870][emoji870]kabisa raha ya vocha igombaniwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!
hahahaaa...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ay?Kalumbuuuu
AY wetu wa Mbeya[emoji23]
Ni kipindi tu tunapitia yana mwsho hayoMkuu pamoja na uhandsome wote huo unashabikia timu mbovu?
[emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ay?
Sure[emoji28]hahahaaa...
Ukiwachekea wanakugeuza Bibi yao...
Vile watuwanavogombania vocha inaleta burudani fulani hivi tofauti na kutuma pm!! Ni kama kucheza gemu 🤗Unataka kusema nini Boss Lady? [emoji870][emoji870][emoji870]
Ndio mwisho ushafika hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwsho msimu huu mwakan Tan Haag yupo mtatukomaNdio mwisho ushafika hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijaona ukiongea kisongea mkuu...shida Nini??[emoji6][emoji6][emoji6][emoji41]
Nimekuelewa Boss Lady...Vile watuwanavogombania vocha inaleta burudani fulani hivi tofauti na kutuma pm!! Ni kama kucheza gemu [emoji847]
Habari za uzima msukuma!! Naona ulikosa mtandio ukasusa [emoji12][emoji12]!!
khakhaa... ndio upo msukuma!Nimekuelewa Boss Lady...
Ndiyo. Tumetoka mbali sana. Sasa siku ile nimepigania mtandio mpaka kichwa kikaniuma dah! Basi nimeona isiwe shida Boss Lady.
Kwani mtandio bado upo? [emoji15]
Kwa mara ya mwisho. Nauomba...hata kama ni kwa sekunde tatu tu unafuta.khakhaa... ndio upo msukuma!
Jamani 🙄🙄 haya sekunde tatu nafuta... ukitoka usinilaumuKwa mara ya mwisho. Nauomba...hata kama ni kwa sekunde tatu tu unafuta.
Nipo!Jamani [emoji849][emoji849] haya sekunde tatu nafuta... ukitoka usinilaumu