Mi la kwanza kanitoboa mdogo angu na sindano tu nyumbani,ila la pili nilitobolewa na muuza urembo ndio!
Ni mkaka alikuwa anapita tu,wala sikupata shida!
Mi la kwanza kanitoboa mdogo angu na sindano tu nyumbani,ila la pili nilitobolewa na muuza urembo ndio!
Ni mkaka alikuwa anapita tu,wala sikupata shida!
Hivi inawezekana hii kitu, nina matobo mawili la kwanza nilitoboa na sindano ya kawaida nyumbani nilipona mapema. Tobo la mara ya pili ilikua mtihan nilitoboa kwa sonara niliteseka zaidi ya mwezi haliponi ila badae likakaa sawa.
Hivi inawezekana hii kitu, nina matobo mawili la kwanza nilitoboa na sindano ya kawaida nyumbani nilipona mapema. Tobo la mara ya pili ilikua mtihan nilitoboa kwa sonara niliteseka zaidi ya mwezi haliponi ila badae likakaa sawa.
Kwa sasa yamepona yote ila la pili sijui kwa nini lilisumbua vile lilikua linakauka kwa nje ila ndani kidonda kibichi. Niliteseka ilibaki kidogo niliache tu lizibe lkn nilikomaa nalo likaja likapona kabisa.