Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Ndiioo ndioooo!! santo sanaaaaa 😘😘✌️
Ndiioo ndioooo!! santo sanaaaaa 😘😘✌️
Sitoki Bosi Lediulikua wapi msukuma jamani haya kaa hapo hapo usitoke

Shemeji huyoo,, ile mishe yetu umekaa kimya sana shemeji


Buti limekaa mahala pake... ulipita jkt eehh


??Asante Boss Lady. Kweli hili ni vazi la heshima japo halijafanikiwa kuficha yanayopaswa kuonekana. An African woman!




Sijambo babuu! Mwambie bibi vibaya hivoo awe anakuachia walau wazee hamtakiwi kubabwa kiivo Jamani!Bibi yako leo amenifanyia makusudi ya kunifichia Miwani yangu, yaani Usiku huu ndiyo kanirudishia
Anyways, hujambo lakini Mjukuu?
Ingekuwa ni huku Kijijini wangesema nina mguu mzuri, yaani naingia tu nakutana na Neema za Allah 🙊
Juzikati Nilikutafuta sana shem dogo alikua amekuja kunisalimia ujue!Shemeji huyoo,, ile mishe yetu umekaa kimya sana shemeji![]()
Boss ledi wa nguvu
Nitamwambia, vipi Kuna mtu ulimwagiza aniletee dawa zangu za kikohozi au umesahau tena??🤪🤪Sijambo babuu! Mwambie bibi vibaya hivoo awe anakuachia walau wazee hamtakiwi kubabwa kiivo Jamani!
🤭🤭🤭🤭😘😘😘 Asante msukuma!!Asante Boss Lady. Kweli hili ni vazi la heshima japo halijafanikiwa kuficha yanayopaswa kuonekana. An African woman!![]()
Boss ledi wa nguvu
Nitamwambia, vipi Kuna mtu ulimwagiza aniletee dawa zangu za kikohozi au umesahau tena??🤪🤪
Babu yako bado naumwa ujue🙊
That's powerful, wakazieni watoboe....😂😂😂
kwema sana! Vijana wako poa msukuma tunaendelea kuwarescue ado ado !! Tunaamini Watatoka tu !!
Kuna haja ya kurudi Bukoba... Mwenye nyumba wangu sijui atakuwa ametoa vyombo vyangu?!!!
Bado kitu kimoja pembeni 😄😄
hahahaaaaa!!!Kuna haja ya kurudi Bukoba... Mwenye nyumba wangu sijui atakuwa ametoa vyombo vyangu?!!!
Yaniii ..That's powerful, wakazieni watoboe....