Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,565
- 235,374
Junia acha usimpige mgeniKama sio jela
Kunasiku kunamama na mwanae ana miaka kama nane hivi
Mtoto anashusha nguo kwenye enga Mara apande kwenye kiti ajirushe
Mama mtu sasa "wew Junia acha iyo"
Junia njoo Basi hapa
Junia wew usishike hapo [emoji23][emoji23]
Nilichukia nikasema looh angekuwa mamaangu kashanipiga mtama muda Sana Hana muda wa kupoteza[emoji23]
Hadi mdogowangu akaingilia Kati akamuuliza dada huyu mtoto umemzaa mwenyew au umepewa umlee maana Junia Junia tumechoka tutamfumua mwanao hapa utupe kesi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2969][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee [emoji1430][emoji1430], Kwamba umnyime gari baada ya kupigwa na begi...
uamuzi mzurikweli kabisa nafunga zote ziliboki.. najina zuri kabisa Osman alafu nazingua 😄😄😄😄😄😄 kesho na kuendelea naanza.. unikumbushe kumbushe basi
Anampiga mgeni wanasema junia ndivyo alivyo[emoji16]Et Junia wew usinipige na begi nitakunyima garilako lile usichezee jamani Junia usimkaripie atalia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kudadek
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka duhJunia acha usimpige ngeni
We junia acha simu ya mgeni
Junia ametoka amevaa chupi ya mama yake kichwani..
Baba yake anachukua huku anamwambia wee Junia bwana acha.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu ni Uzi Fulani wa chizimaarifa..nilicheka nilitaka kuzimia.
Junia hasira inambana ,anatupia simu kwenye maji[emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka duh
Ndio hvyo yani hata kufoka hafoki labda amwambie ntakudunda tu ya maneno na njoo hapa nikupige...Eti we Dullah acha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari...[emoji16]Et Junia wew usinipige na begi nitakunyima garilako lile usichezee jamani Junia usimkaripie atalia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kudadek
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Junia acha usimpige ngeni
We junia acha simu ya mgeni
Junia ametoka amevaa chupi ya mama yake kichwani..
Baba yake anachukua huku anamwambia wee Junia bwana acha.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu ni Uzi Fulani wa chizimaarifa..nilicheka nilitaka kuzimia.
Ngoja niutafute[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
unaweza kuupata boss unitag nimsome junya [emoji38].
Dullah anaendelea tu kutupia wakubwa vituNdio hvyo yani hata kufoka hafoki labda amwambie ntakudunda tu ya maneno na njoo hapa nikupige...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1430]Anampiga mgeni wanasema junia ndivyo alivyo
Anamwambia mgeni kwamba anadowea chakula,wazazi wanasema we Junia Jamani
Junia analilia simu ya mgeni,mama yake anamwambia mgeni Mpe tu
Mara Junia anajitupa chini Kwa hasira!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2969]
Sawa boss [emoji1666]Ngoja niutafute
[emoji23]Hv huu mwezi mmfunga kutuma selfie? Au mmfunga ramadan?
Tupieni za ndani ya hijab na niqab
[emoji23][emoji23]Anampiga mgeni wanasema junia ndivyo alivyo
Anamwambia mgeni kwamba anadowea chakula,wazazi wanasema we Junia Jamani
Junia analilia simu ya mgeni,mama yake anamwambia mgeni Mpe tu
Mara Junia anajitupa chini Kwa hasira!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2969]
Kabisa na ana tabia ya kunyonya vidole kuna jirani yake mmoja anamtoaga mkono. Mama yake anadai huyo jirani hampendi mwanae na anamuonea tu kila muda.Dullah anaendelea tu kutupia wakubwa vitu
Miss u moree wiii[emoji3059][emoji3590][emoji8][emoji23][emoji23]
Miss u[emoji8]
Akina Junia haoKabisa na ana tabia ya kunyonya vidole kuna jirani yake mmoja anamtoaga mkono. Mama yake anadai huyo jirani hampendi mwanae na anamuonea tu kila muda.
Mwanzo sikuwa naelewa ila baada ya kwenda mara kadhaa lile eneo ndio nikajua sababu lakini yote hyo ni katika kurekebisha.