Selfika na JF: Snap it. Show it

Bageshi unataka kupindua serikali? Nuzulati utambebea mbeleko gani? Au kwa vile kafunga mwezi mtukufu ndo unachukulia poa?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapana bageshi siwezi mfanyia hivyo shost angu Nuzulati
Me shida yangu ni nyama tu, najua 9.8ms squared alivyokufa na kuoza kwa my wakeπŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapana bageshi siwezi mfanyia hivyo shost angu Nuzulati
Me shida yangu ni nyama tu, najua 9.8ms squared alivyokufa na kuoza kwa my wakeπŸ˜‚
😁😁 Nuzulati nimemuachia ubongo wangu, nafsi yangu na roho.. hana wasi wasi kabisa na mie.. ila nyama nzuri ya huku huku ingawa sio mbaya nitakubebea kwakua una kitu chako cha kipekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…