Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Hivyo hivyo rafiki ..
Wew ni mcheshi .

Hivyo hivyo rafiki ..
Wew ni mcheshi .

As usual....10.45 huku herself...lastly Mahondaw
Kwenye kikao ntasambaza sodaaaa![]()


hahaaa!! Mahondaw mshamba tu! Karibu asee walau tutapooza koo!



Mimi pia mshamba tu 😂😂....so tunahold siri by two washambaz ila makoo yatapoozwa tu....nakaribia natafuta malapa hapa kuna moja nalishona mida hii nivumilie nakuja😂😂😂hahaaa!! Mahondaw mshamba tu! Karibu asee walau tutapooza koo!
![]()

Wahi aisee! Tunakusubiri hapaaMimi pia mshamba tu....so tunahold siri by two washambaz ila makoo yatapoozwa tu....nakaribia natafuta malapa hapa kuna moja nalishona mida hii nivumilie nakuja
![]()

Umedamshi kinoma noma!!😘
😀Mikato ya wazee sugu.Umedamshi kinoma noma!!😘
Sina uhakika; ila nahisi Joti ana mikataba yake binafsi inayombana kuungana na wenzie kwa sasa.Original Comedy!
Wakongwe KaziniView attachment 2173338Hivi Joti mbona hayuko nao sasahivi wajameni walitofautiana wapi kwani?? Yani hili kundi ni masanja na joti tu Wengine hamna hamna kitu kabisa.ila saivi Joti hayupo sijui kwanini!
Nakuja chap ntakubip nikifika...Wahi aisee! Tunakusubiri hapaa![]()
Sina uhakika; ila nahisi Joti ana mikataba yake binafsi inayombana kuungana na wenzie kwa sasa.
Leo wamenikumbusha siku ya kwanza nakanyaga Nzega; nikahitaji kwenda mjini. Daah naambiwa twende ukapande "ganagana". Nashangaa kitu baiskeli kimefika, nikapanda huyoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Here 🙇🙇waiting..ukifika nikupe location ukuje tulipoNakuja chap ntakubip nikifika...
UlikaajeSina uhakika; ila nahisi Joti ana mikataba yake binafsi inayombana kuungana na wenzie kwa sasa.
Leo wamenikumbusha siku ya kwanza nakanyaga Nzega; nikahitaji kwenda mjini. Daah naambiwa twende ukapande "ganagana". Nashangaa kitu baiskeli kimefika, nikapanda huyoo
Sent using Jamii Forums mobile app

😀Mikato ya wazee sugu.
acha nikae kimyae na ni funge mdomo wangu 😬😬Ulikaaje![]()