Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,522
- 5,576
Na kwako pia
Na kwako pia
Naweka Kambi hapa hadi niione🤪Hahaha!!hapana muda ule ule niliweka babu!Leo nakuahidi mida mida ntaweka
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
🤣🤣Mwenzio nilipoteza Miwani leo, na Bibi yako alikuwa ametoka. Jioni hii amerudi ndiyo kuniokotea walau saivi nimeanza kusoma magazeti yangu niliyonunua asubuhi 🤪🙈🙈🏃🏃🏃
You are missed too Mjukuu 😘😘
Sawa Mjukuu, ila fanya utaratibu nipate Miwani mingine kama spare Incase hii ikapotea kama ilivyotokea Leo then naendea ya akiba 🙈🤣🤣
Haya ulale
Mama JBaba J
Kila siku napishana nawe shem. Leo sitoki hapa ng'o hata iweje!
Wewe mtu mkuu..Sio mnywaji Ila natamani Hilo shelf niwe nalo home.
Kaka Shimba..Kila siku napishana nawe shem. Leo sitoki hapa ng'o hata iweje!

Nakuletea babu 🤣Sawa Mjukuu, ila fanya utaratibu nipate Miwani mingine kama spare Incase hii ikapotea kama ilivyotokea Leo then naendea ya akiba 🙈
Sijambo bro. Kwema huko? Tumshukuru MunguKaka Shimba..
Wasalaam..![]()

Thanks Mjukuu mzuriNakuletea babu 🤣
Kwema Chief..Sijambo bro. Kwema huko? Tumshukuru Mungu![]()
Naona unapambana na dhahabu mkuu

Yeah! Enzi zile Makapuku inawaka moto. Good ole days. Tumshukuru Mungu kwa kutuweka hai. Almost 4-5 yrs back...Kwema Chief..
Long time! Some years back
Mungu mwema sana Tupo hai hadi leo..Yeah! Enzi zile Makapuku inawaka moto. Good ole days. Tumshukuru Mungu kwa kutuweka hai. Almost 4-5 yrs back...

Ondoa hiyo avatar. Mods wakikulenga watakulima ban ya kweli ya wiki 2. IlishanitokeaNani aje tulipane