Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Since day one nilitaka kukwambia ana ngozi nzuri kama nkamu gwetuAngalau nimeinasa moja
Byurifuuu
Ngozi yako nzuri aiseeee
Wewe mrembo dada mzuri.
Since day one nilitaka kukwambia ana ngozi nzuri kama nkamu gwetuAngalau nimeinasa moja
Byurifuuu
Ngozi yako nzuri aiseeee
Wewe mrembo dada mzuri.
Ngozi nzuriiiii
Nipo mdogo wangu.. haya hebu tushawahi kwa selfii yako basi ulimisika sana ujueBoss lediiiiii
Nikikuona hapa nafuraahi
Biurifooo 😍😍 ka lipstick kazuri
Yanii ana ngozi nzuri mnooo..mwezi huu sura yangu siielewe kabisa !! wakati nilichokua natumia ni kile kile sikuzote yani sielewiiii Saivi nina mapele balaa!Since day one nilitaka kukwambia ana ngozi nzuri kama nkamu gwetu
Hako navaa ma mchungaji fanya kunipasia size yangu 39/40 . Una kucha nzuriii dah! Hivi ulishagombeaga u miss eehh?? naona unafaa sana plus u fashionist !!Bosi ledi wakati najiphotoa haka kapicha nilikuwa najisemesha eti ka skonkinko mid kama haka si unavaa?View attachment 2170865
Labda na hali ya hewa tu. Warembo wa JF si walikuelekeza ufanyaje ili ngozi ikae sawa?Yanii ana ngozi nzuri mnooo..mwezi huu sura yangu siielewe kabisa !! wakati nilichokua natumia ni kile kile sikuzote yani sielewiiii Saivi nina mapele balaa!
NipoLeo [mention]Wigelekelo [/mention] yuko wapi,anapishana na gari la mshahara huku![]()

Asante mwaya❤️, yaani ngozi imeamua kunistiri tu saizi, huku mwilini hainaga tabu sana, usoni sasaaa ni korofi sijapata ona 🤣🤣🤣waooohhh umenouga mnooo Asante sana kipenzi! upo softi hadi raha![]()
Asante kipenziNgozi nzuriiiii
zea zea

Ai weweee asante mrembo🥰Biurifooo 😍😍 ka lipstick kazuri
Walinieleza ndio navisaka nitest!Labda na hali ya hewa tu. Warembo wa JF si walikuelekeza ufanyaje ili ngozi ikae sawa?
U-miss na matege yangu na sura hii ya kinyaki? Fashionista wapi boss ledi mweehHako navaa ma mchungaji una kucha nzuriii dah! Hivi ulishagombeaga u miss eehh?? naona unafaa sana plus u fashionist !!
Safi. Kila la kheriWalinieleza ndio navisaka nitest!
Huwa inatokea tu, me nakwambia ngozi yangu ni korofi usoni lakini, kwa mwaka nakua na aina hata tano za ngozi 😂 ila saivi naona imetuliaYanii ana ngozi nzuri mnooo..mwezi huu sura yangu siielewe kabisa !! wakati nilichokua natumia ni kile kile sikuzote yani sielewiiii Saivi nina mapele balaa!
Weeeh ma mchungaji ile picha ulitumaga umeshikana na fazapastor una guu zuri tu mbona afu limejaa jaa kidogo!U-miss na matege yangu na sura hii ya kinyaki? Fashionista wapi boss ledi mweeh
Sasa hivi si unafanya diet; pambana uzito ukishakaa vizuri anza kutupia mid heels mara mojamoja. Gradually utaanza kuzizoea then huyo unahamia kwenye high.