MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,512
- 15,094
.
Unafuta ya nini wakati walimwengu hawajaona
Niione yako Kwanzaa ndo Mimi ntatumaUsijali walimaharage wameshaona hao walimwengu wapambane na hali zao tu
Mkuu tuma basi na wewe picha yako jamani unajua mie mdau wako mkubwa sana
NdiwoooKwamba wewe uko Muheza eti??
Aliniambia IDFWUAriana Grande kwanini ulimtosa Big Sean ?
Niione yako Kwanzaa ndo Mimi ntatuma
Ndiwooo
Unavutiwa naye au we ni ke siku hizi?
Mimi nitaaminije kama nawe yako utatuma??
"You have my word"Mimi nitaaminije kama nawe yako utatuma??
Jina ni neno la kutisha kidogo "karma" avatar ya moana seriously ?
Ngumu kumeza
Nimecheka kindezi,, khaa kwamba unahisi mimi ni mwanaume au unadhani na mimi ni mmoja wa wale wa LGBTQ?? Daah Saint anne njoo huku unitetee
Aise nimecheka hadi watu wamenishangaa hivi kumbe inatakiwa kusisitiza kuomba picha ya mtu wa jinsia tofauti na yako eenh?? Basi naomba picha yako mkuu!!![]()
Iko wapi yako?TUNATUMA MKUU
"You have my word"
Iko wapi yako?
ahsante piathanks