Selfika na JF: Snap it. Show it

 
Em anzisha uzi siku moja; tusikie from men's perspective. Inawezekana sisi tumeshindwa kuwaelewa. Ila Mimi ninachoamini ni kwamba; urafiki wa dhati kati ya ke na me unawezekana kabisa, pasipo kuhusisha ngono.

Wakati mwingine unashindwa hata kumtreat me vizuri; maana ukimchekea tu anahisi huyu tayari ameshaingia laini, kumbe hata wazo huna
 
inakuwa nzuri zaidi kama ukiwaambia kabisa mwanzoni before having their numbers kuwa right now hauko interested in dating them,,
Sasa yeye atajuaje kama huyo mtu atamtongoza? Imagine mtu kakusalimia tu; unaanza kumwambia "sihitaji mahusiano kwa sasa". Kwamba Kila me anakuja tu kukutongoza? Au mimi ndiyo sielewi haya mambo, najifanya msemaji wa wanaume?
 
 
Noooo sio baada ya salamu,, nazungumzia kama ukitaka peleka huo urafiki from pm to whats app and ukiona dalili za hayo mambo
Dalili hizo ni zipi exactly? Sometimes ni kama assumptions: zinaweza kuwa kweli au zisiwe kweli. Imagine umeshafanya conclusion kwa sababu ya hizo assumptions zako wakati kumbe mwenzio hakuwa hata na wazo la kukutongoza?

Labda itokee kwenye stories tu; mkaongelea issues za mahusiano then ndiyo useme wewe hutaki mahusiano kwa muda huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…