@mahondaw eti shouzzzzzzzz rangi ya sare ya harusi ni ipi?
Rangi 4? Bi harusi na msimamizi, ndugu wa kikeni, ndugu wa kiumeni, marafiki, ndugu, na jamaa.
Kwa Mr nae rangi 4, ila atachagua yeye, simuingilii
Na wana selfika pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!! Binafsi siwezi kosaa weeeehhh!!
Kabisa yanii nitaongea na fashionist mama ma mchungaji Heaven Sent hii sekta anaitendea haki vizuri kabisa!