Nilikuwa navuta picha nilishakuwa na shot ya huo Mshono; ndiyo nikawa nakumbukia hapa who was the lady . Ningeenda kuitafuta nikuone sura; but kama sikosei alikuwa mnigeria
Yeah nilisema ila natengua kauli baada ya kusoma mahali kuwa mbinguni tutapewa miili mipya😂
Hiyo hiyo mradi ikiwekwa sukari inabamba😋
Kuna sehemu ipo Moshi niliona kwa tv panaitwa Maji moto (sijui pana jina lingine) watu wanaogelea nikapapenda mazingira yake so ndio nataka nikija niende hapo nikapunguze stress