Selfika na JF: Snap it. Show it

Nitakupeleka lazima, tukale tuongeze weight😋

Kumbe hua unatengeneza mwenyewe mtindi, good girl.
Tengeneza mwingi nikuje kunywa na mie, naona safari ya huko soon inanukia😛
Tuongeze weight? Sio wewe uliyeniambi ni maintain hizi kilo 12!?

Actually sio pure mtindi maana natumia flavor 😋

Moshi?? Au au au ai weweeee 🤪🏃‍♀️
 
Tuongeze weight? Sio wewe uliyeniambi ni maintain hizi kilo 12!?

Actually sio pure mtindi maana natumia flavor 😋

Moshi?? Au au au ai weweeee 🤪🏃‍♀️
Yeah nilisema ila natengua kauli baada ya kusoma mahali kuwa mbinguni tutapewa miili mipya😂

Hiyo hiyo mradi ikiwekwa sukari inabamba😋

Kuna sehemu ipo Moshi niliona kwa tv panaitwa Maji moto (sijui pana jina lingine) watu wanaogelea nikapapenda mazingira yake so ndio nataka nikija niende hapo nikapunguze stress
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…