Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,835
Nilikuwa barabarani uliporusha ile ya mwanzo fasta nikatafuta sehemu nikapaki isinipite. Polisi kaja kaniuliza are you OK nikamjibu I am OK officer huku moyoni najisemea ofisa boya naye huyu. Hata hajui kuwa Bosi Ledi huku keshashusha mambo. Rahaa! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Tena nilikutag wewe tu!!
Mimi na kishundu wapi na wapi?Labda kama kile kishundu unachokitupiaga humu siyo chako. Hupati hata senti moja! [emoji51][emoji51][emoji51]
[emoji849]
Unadhani namuacha bure sasa?
Haya magauni aisee mnataka kua Kama marehemu mama rwakatare bado likofia tu[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hatari
Na hiyo skuna[emoji91]
Zuri sana nimelipenda mno.
Asante mama.
Akaaaah leo ndo umetisha sanaaa. [emoji4][emoji4][emoji4]Mna dhambi nyie
Si ni nyie mnanisifiaga humu na vitenge au siyo nyie[emoji1787]
😂🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭 sitaki kucheka msukuma khakhaaaaaaNilikuwa barabarani uliporusha ile ya mwanzo fasta nikatafuta sehemu nikapaki isinipite. Polisi kaja kaniuliza are you OK nikamjibu I am OK officer huku moyoni najisemea ofisa boya naye huyu. Hata hajui kuwa Bosi Ledi huku keshashusha mambo. Rahaa! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Tena nakuja nimewabeba wenzanguHadi uvae hivyo ndo utatanguzana na mie, hayo ya marinda wapelekee uwata lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama hana kishundu otomatikale siyo Mnyaki....Ngoja nimwite Cariha
Ring finger uwa tu naitia namna gani vipiWhy middle finger umeweka black[emoji854]
Yaani huwezi amini nimezoom Ile picha ya kwanza zaidi ya mara 3 Kwa kutumia hii Miwani yangu ya mbao hadi ikanidondoka Chini na kupasuka 😂Nilishatoa laki moja keshi. Mtu ye yote anitafutie binti wa Kinyaki flati skrini kabisa hana hata kishundu kabisa cha kubingirika. Naona nitaishia kuila tu hii hela...
Kwa kifupi hakuna...
Imagine Mtakatifu aachane na magauni na masketi yake ya Ki-Abiudi weh!
Wakati wa uumbaji Mungu Aliindoka na udongo wake kutoka mikoa ya Kaskazini na kwenda kuumalizia wote huko kwa Wanyaki [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Mlongo hili juba ni zuri mnoo, tatzo mie halitanipendeza woiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamo Nini Lecturer?Kumbe nawe wamo[emoji4]
😹😹😹😹 mtuwacheewTraako nehi
Basi tuombe radhi wanaselfika kwa kutuwekea picha za uwongo [emoji51][emoji51][emoji51]
Eeh usimuache hivihivi🤣🤣🤣🤣Unadhani namuacha bure sasa?
Hakuna kitu cha bure hii dunia.
Namnyanyasa kwanza,
Kama 'blaza' anavyosema hili nishakusamehe ila we must discuss [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah shouzzzzzzzz bhana wee.Unaniamsha na habari zako za kukojoa![emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2216][emoji2216][emoji2216][emoji2216]
Ukipaka rangi hazikatikiSi hapo sasa nilifuga kiasi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siku hizi kidogo tu zinakatika
Nini na wewe?[emoji849]