Selfika na JF: Snap it. Show it

Leo nimefanya kazi kiboss sana

Za kunitoa nje zote nimewapa students wanisaidie.
Jua halijanipata hata πŸ˜’ ila sielewi nini shida.. au sina maji mwilini 🀣
Pole kwa madent ila ndio wanapata ujuzi zaidi hapoπŸ˜…

Itakua umepungukiwa maji, jitahidi unywe ya kutosha kabla hujaishiwa ukakauka kama ug...oπŸ˜‚

Usimeze dawa kwanza, anza na tiba ya maji na ule ushibe.
 
Pole kwa madent ila ndio wanapata ujuzi zaidi hapoπŸ˜…

Itakua umepungukiwa maji, jitahidi unywe ya kutosha kabla hujaishiwa ukakauka kama ug...oπŸ˜‚

Usimeze dawa kwanza, anza na tiba ya maji na ule ushibe.
πŸ˜›πŸ€ͺ nawakubali, Naipenda sana madent season.. yan uwa natamani isiishe..

Hiyo aya ya pili wallaqh nakauka na kicheko hapa 🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Napambana hapa hii 1lt ikate nianze route za kususuπŸ˜’
 
I can't wait to join you, wewe ni mtu mzito rafiki, kwangu could be bahatiπŸ™Š

Business proposal nilishaanza kuiandika tangu last year. Ukiihitaji hata next April inapatikana πŸ™ˆ
Uzito labda kwenye mizani πŸ₯΄πŸ˜

Next April??? Sasa si tutaanza kazi 2030??🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…