Selfika na JF: Snap it. Show it

Heheheheh shouzzzzzzzz kasema mie nani nipinge sasa? Tusaidiane kuchagua jina.
Au hili
"Le Boss "
 
Mimi ndiyo napenda hizo hekaheka; Zumaridi kaniharibu
Dah mimi naonaga kama pastor ananikata jicho mwenyewe yaani

Mabenchi flani hivi ya makanisa yetu huku Roman Kkkt na kmt..kuna namna yamekaa yaani mtu anaweza kusimamia kwenye kimbao akainuka kidogo.
Unakuta watu wamsimamia kile kimbao lakini wapi,wanabembea hata begani hawanifikii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…