Hapana mtakua mnamkosea kabisa shos! Mjep aheshimiwe tafwazali wee huo moyo alionao sio wa nchi hii ujue! wengine vocha za jero tu wanamute mazima kama hawajaona maombiya vocha nashauri jina lenye heshima zake pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!
Kweli Tena
Hata nikikaa kwenye siti huku,ile purukushani za ibada za kusimama..najikutaga pekeyangu shingo inaelea kule juu mawinguni
Nikigeuka kushoto na kulia naona watu wananifika kiunoni
Kweli Tena
Hata nikikaa kwenye siti huku,ile purukushani za ibada za kusimama..najikutaga pekeyangu shingo inaelea kule juu mawinguni
Nikigeuka kushoto na kulia naona watu wananifika kiunoni
Dah mimi naonaga kama pastor ananikata jicho mwenyewe yaani
Mabenchi flani hivi ya makanisa yetu huku Roman Kkkt na kmt..kuna namna yamekaa yaani mtu anaweza kusimamia kwenye kimbao akainuka kidogo.
Unakuta watu wamsimamia kile kimbao lakini wapi,wanabembea hata begani hawanifikii.