Mtakatifu unavyoongea sasa. Subiri uingie ngomani bana - ngoma ya vurugu. Ngoma isiyo na mpangilio. Ngoma ya wehu (in Kezilahabi's voice), yenye midundo mchafukoge. Ngoma ambayo mchezaji mwenza ni "guruwe pori". Kama nakuona yaani na huu ubishi wako itakuwa burudani tosha