reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,306
Juzi picha zimefutika zooooteeeee! nilikua nafuta nikabonyeza vibaya delete all uwii ma tachi haya dah!Subiri ataweka sasa hivi yaan.![]()
Huyo yupo humu
Mimi nilikuwa namjibu hadi mwisho
Namuuliza nani,?
Kanitajia jina hata silijui..
Namuuliza ndio nani anasema hunikumbuki?
Mimi ni Fulani Fulani
Nikaona nimsikilize,
Anauliza Niko wapi nikamtajia.
Anasema yeye yuko mahala fulani,anafanya kazi huko na kampuni gani sijui..anatafuta mashine..
Hizo machine Mbeya wanauza bei rahisi kwahiyo amenipa dili ili tupige Hela..
Ataniunganisha na mtu,huyo anaziuza mashine...nimpigie aniuzie halafu kwenye risiti aandike hela pungufuinayobaki juu tunagawana.
Nikipiga nimwambie kaka Daudi amenipa namba
Anauliza nikutajie namba??
Nikamwambia nitumie kwenye msg..
Akatuma,akapiga Tena
Haki ya naninimecheka Mimi.


Weee! bwanaaNdyooooooh mlongo, byurifuuuuu.![]()




nakujua mwenyewe Dada!Juzi picha zimefutika zooooteeeee! nilikua nafuta nikabonyeza vibaya delete all uwii ma tachi haya dah!







poleeeeh shouzzzzzzzz, Google store nenda utakuta zote.Watageuza kuelekea ukraineKama mama jusi wakifuata nyota ya mashariki,,hizo pigo sio



Pole boss lady, mimi naomba walau kibarua cha kukupiga pichaJuzi picha zimefutika zooooteeeee! nilikua nafuta nikabonyeza vibaya delete all uwii ma tachi haya dah!
Nenda google pictures utazikutàaJuzi picha zimefutika zooooteeeee! nilikua nafuta nikabonyeza vibaya delete all uwii ma tachi haya dah!
Weka weka hapa,Weee! bwanaanakujua mwenyewe Dada!
Hyo ya last week ngoja niweke ya last year
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app





Hahahah!ntashukuru boss!Soon utaona muamala
Pole boss lady, mimi naomba walau kibarua cha kukupiga picha











kaahhh!!!hatareeeUmelipwa bei ganiView attachment 2155583
Ni jukumu letu sote kuendelea kukumbushana umuhimu wa kuwa na afya njema Kwa watu wa Rika lote. Though msisitizo zaidi uendelee kutolewa Kwa vijana wanaochipukia.
Unapokuwa unaugua mara kwa mara huathiri kipato chako pamoja na kuathiri shughuli zako za maendeleo Kwa ujumla, kwani itakulazimu kuhudhuria kazini mara chache wakati muda mwingi ukitumia hospitali kujiuguza.
Sio HIV tu bali hata maradhi mengine pia yachukuliwe Kwa uzito unaostahili hasa Pressure, Kisukari, Moyo, Saratani n.k hasa kwa sisi Wazee
God is good all the time![]()



Asante wiii..ndio naanzia wapi sasa hebu nipe procedures please!!
Usizae??Anakufwa kabisaa na akijua nimeongeza mbegu kungine atakufaaanasema usizae tena kwengine mweehhh!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Umelipwa bei gani
Kunipima mimi
Mnilipe milion 10![]()





ko unajijua ulivyo?Kwa jinsi wanavyoongea kishambaHuyo yupo humu
JF ni kichaka
Ila mwambie awasiliane nami
Nimpe salaam zake![]()
Pole boss lady, mimi naomba walau kibarua cha kukupiga picha