Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Si nilishasema tutamuita lile la babuAma tumwiteje kijana wetu mwenye damu ya kimbarali? hizi suggestions hapa;-
Lughano
Lupombe
Lusako
Ludewa
Lusekelo
Lujamvini
Lutengano
Lumumba
Lusajo
Lujumbe
Lubrown
Lumuliko
Lubialwetu
Lucrimea
Luitwege
Na vile unatoaga shit zako kwa mabank tellerhamna bwana pombe kwa kiasi Kama maandiko yanavotaka ule usomi usomi Mara kazi bank wale wahuni wanaochomekea bank wakanizidi swaga Mimi mshamba wa isimani
Achia dimpo mdogo etu.Long time ago
When Arusha was real geneva of Africa….Currently hatuna tofauti na Dar
Ni full jua la utosiView attachment 2153182
Satoh Hirosh liked your photoLong time ago
When Arusha was real geneva of Africa….Currently hatuna tofauti na Dar
Ni full jua la utosiView attachment 2153182
Inshallah
Na vile unatoaga shit zako kwa mabank teller
Wewe itakuwa ulitupia vyombo ukamwambia aache utamlipa hako kahela kanakomtia jeuri
Umezingua sana..hebu fikiria mara 2.
Hakuna binadamu hana changamoto...na mlishafika mbali hadi mna mtoto.
Kuachana siyo best solution.
Shauri yakokurudiana hapana hapana hapana
Anne Ukija naomba niione Sura yako pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!
HS hebu chukua mtu wako
La babu halina maukali atiSi nilishasema tutamuita lile la babu
Btw ,uliona hii picha??.
Nilipost asubuhiView attachment 2153183
Yaani wewe ni chiziAma tumwiteje kijana wetu mwenye damu ya kimbarali? hizi suggestions hapa;-
Lughano
Lupombe
Lusako
Ludewa
Lusekelo
Lujamvini
Lutengano
Lumumba
Lusajo
Lujumbe
Lubrown
Lumuliko
Lubialwetu
Lucrimea
Luitwege
Unanitia vocal sio 😁😁Yaani unanipiga tena kalenda jamani tangu juzi
Si uweke tu mambo yasiwe mengi eti jamani
Siku za usoni tutapokua na kijana wetu Lubialwetu Mwakajumbe?Yaani wewe ni chizi
Hayo majina matano ya mwisho
Tunza hayo majina,
Kuna kitu nitakukumbusha hapa siku za usoni.
.........
Mtumishi tulikumiss aisee
Tunaomba uselfike.
La babu halina maukali ati
Tukae kwenye Lubrown Mwakajumbe
________________
Hiyo "HE" hapo inasimama badala Pepu, si ndio?
Embu ambia watu ukweli umwaibishe shetani
Unaongopa ndugu yanguView attachment 2153198Baada ya kushiba ni kulala 🚶🏻♀️
NakujaView attachment 2153198Baada ya kushiba ni kulala
Siku za usoni tutapokua na kijana wetu Lubialwetu Mwakajumbe?
Niliwa miss pia mama mtumishi.
Selfie hii hapa, walininasa nikiwa nakenua.
Speech ya makamu ilituchekesha sana leo
View attachment 2153196
Usiku huu kuna kazi gani? Ni kuoga na kulala. Na kwa sie wachelewaji wa kuamka asubuhi basi na kuandaa viwalo kabisaUnaongopa ndugu yangu
Baada ya kushiba ni kukifanyia kazi hiko chakula umekula
Kwa maneno mengine unaweza kuupiga mwingi sasa