Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna uhusiano katika ya wokovu na mavazi.
Kama Usingekuwepo basi watu wangeenda tu kanisani uchi ,au basi wangetuma roho ziende huko wao wabaki nyumbani.

Tuone mavazi ya hao wasabato.
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Wokovu na mavazi wapi wapi.. una fail sanaaa katotoo kazuri... mavazi yapo hasa na eneo ( tamaduni).. kuna mavazi based na tamaduni zako si sawa na tamaduni zao.. ebu anza kuvaa kama mafarisayo au kina mzee peter na Bwana Yesu.... au kina Mariamu
 
Acha iwe hivyo
Hata Mungu anatutaka tusiifuatishe namna ya dunia hii.
Na mwili ni hekalu la Roho Mtakatifu..
Kama ni hekalu basi unapaswa kuheshimiwa...
Siyo mtu avae tu kama changudoa huku akijifariji kuwa Mungu anaangalia moyo.
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ weeeeeee.. kuna machangudoa wana vaa kwa stahaaa unaweza hisi wanaishi mbinguni.. na ku mapisi yanatokelezea kisasaaaa ile kinoma nomaaa sanaaa.. ila ni watatifu hadi Mungu akiwatazama anasema ewaaa majembe yangu.. mavazi na hekalu wapi na wapiii πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Hakuna nilipofail
Ni watu tu wanajitoa ufahamu na kufuata mkumbo.

Kama wewe kwako mavazi hayana uhusiano na wokovu basi ni sawa,,siku moja moja anza kujitupia tu kitaa uchi ..it has nothing tl do with your salvation.
 
Bado hizo scenario siyo guarantee ya watu kujustfy uvaaji wao wa hovyo.

Na hapa ndipo wakristo wengi tumepigwa Gap na wenzetu wa upande wa pili kwa sababu tu za kijinga za kujitoa ufahamu.
 
Kuiona pichu ya mtoto

Wa ki adventist ni issue

Wana uvaaji na uvuaji wao wakati wa asali

Unless umemuoa ama uwe mbabe uione kwa ngyvu

Hizo nywele zinafungwa kama Nun wavaavyo

Gauni ama sket inaishia chini ya unyayo

Lakini twakutana nao klab au kuogelea baharini

Na hakukemei ulivyo

Lakini hawa waokovu wa sasa ni shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…