Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Nini mamiii
Unatumiaga hayo makitu?
Unatumiaga hayo makitu?
Haya tukijiandaa kumlaza pyramids..lazima tuandae cha kusindikizia
Bachelor suguView attachment 1246097



Wale walokumbuka kusali,ndo tunatokea kwa church!View attachment 1246106
Ya pili naonaga uvivu. Ya kwanza ndio huwa tunajaa wazee.






Njoo nikupikie keki nikununulie na mirinda nyeusi kubwa, unyweee hadi uvimbiwe.






Atubariki sote kaka Mshana
Kimbia uje, kupika keki ni rahisi kuliko chapati
Hivi unajua nitakuja kweli mimi jamani!!
Mirinda nyeusi na keki utaniuaa kabisaa



Pole mnoo jamani
Kwa mtoko huu naamini maombi yako yamesikika❤️❤️❤️Wale walokumbuka kusali,ndo tunatokea kwa church!View attachment 1246106
JamaniiiiKimbia uje, kupika keki ni rahisi kuliko chapati
Kwahiyo wahi, ukifika utaikuta tayari.











HallelujahWe Mshana huyu Sakayo Dada yangu wa mambo ya ukubwa wewe mpare unamtakia nini???We sakayo Tulia nitakununulia Dream liner ili wasikusumbue hapa
Tumsifu Yesu Kristo Mr sumbaiAfter church....ni mwendo wa kutafakari nenoView attachment 1246165
Matokeo ya maombi haya
HallelujahKwa mtoko huu naamini maombi yako yamesikika![]()