Sina vyote hivyo
Eeh sina yaani hata make up pia
Nina kawanja tu maana napenda kupaka kwenye macho .
Heka heka kweli ..Yaani huwa ni hekaheka jamani; ngoja niwe napakwa frequently nizoee
Hahahha uzuri wapishouga staki kuamini, uzuri wote huo aaaah wee. Hebu fanya uwe navyo.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hahahaha hawaruhusu hata rangi za kucha .SDA
Wanaruhusu
hahahaaa..! mpambe sana AnneMpambe tu yule
Kwa nani hapo?Heka heka kweli ..
Kuna sehemu Morogoro hapo nilienda kuchora wanja wa lulu na wakanipaka make up kidogo ,aisee wapo vizuri unapendeza kwa bei nafuu .
UsisahauHahahaha hawaruhusu hata rangi za kucha .
Wewe
Ni konk masta
Muache bhana
Halafu hii mambo
Tui kanseli
Shouzzzzzzzz nawee huna?Nahisi bora hata wewe .Mie ndio kabisaaa nishashindwaga !
Yaani huo wanja wa kwenye macho; ni hadi nibembelezwe na soda ndiyo nikae nitulie nipakwe. Hivihivi mweeeh
Panaitwa Morogoro make up studio , hapo mjini wanapatikana .Kwa nani hapo?
Kweli wanaume tupo tofauti sana na wanawake, yaani humu wanawake wanasifiana balaaa, mara lips tamu daaah.
Konkkuwa na adabu mie konki wa nn?
Afu ukute sasa mie ndo learner, sijui kitu kuliko yeye unayemdhania.
Mizagamuo hoyeeeeeeh,. Aliyeleta mizagamuo ana nafas yake huko baada ya duniani hapa, yaan ile kitu aaaaah, unasahau shida na tabu zote za dunia, lakini kwa wanaopendana tyuuh
Hawa walio ktk mahusiano ya kuzagamuana kwa kufake hawa enjoy wala nn, wanakamilisha ratiba tyuuh, uwe na mtu fulaan unamuelewa, unamkubali, na kumpenda haswaaaa, acha wee
Yaan ukimuona tyuuh bacteria walio ktk eneo husika wanaanza kupisha na kuweka maji ktk eneo ili mgeni asife na kiu.
Watu weuweeeeeeeeee,
mahondaw mie muongo shouzzzzzzzz? Hahahah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hahahha weweUsisahau
Hata hiyo pepsi
Unayopenda kuinywa
Ooh napafahamuPanaitwa Morogoro make up studio , hapo mjini wanapatikana .
Tafuta kidogo nawee jaman, hata shem aone utofauti wako, mambo madogo madogo ndo ya kumkonga mume jomoneeeeh shouzzzz,Hahahha uzuri wapi
Eh mazoea yana tabu nishazoea kuwa hivi .
Nitafuta lipstick labda.
Coca em acha basi hizi mambo zako.kuwa na adabu mie konki wa nn?
Afu ukute sasa mie ndo learner, sijui kitu kuliko yeye unayemdhania.
Mizagamuo hoyeeeeeeh,. Aliyeleta mizagamuo ana nafas yake huko baada ya duniani hapa, yaan ile kitu aaaaah, unasahau shida na tabu zote za dunia, lakini kwa wanaopendana tyuuh
Hawa walio ktk mahusiano ya kuzagamuana kwa kufake hawa enjoy wala nn, wanakamilisha ratiba tyuuh, uwe na mtu fulaan unamuelewa, unamkubali, na kumpenda haswaaaa, acha wee
Yaan ukimuona tyuuh bacteria walio ktk eneo husika wanaanza kupisha na kuweka maji ktk eneo ili mgeni asife na kiu.
Watu weuweeeeeeeeee,
mahondaw mie muongo shouzzzzzzzz? Hahahah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Nilipapenda sana pale hata bibi harusi wanapendeza balaaa .Ooh napafahamu